iqna

IQNA

imami kashani
TEHRAN (IQNA) -Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran ameashiria matukio ya hivi karibuni katika nchi za Kiislamu na kusema kuwa, kuna ulazima kwa Waislamu kuwa macho mbele ya njama za maadui huku akitoa wito kwa Waislamu duniani kumtetea Sheikh Ibrahim Zakzaky wa Nigeria.
Habari ID: 3472290    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/20

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameyataka mataifa ya Kiislamu kushikamana na kusimama kidete mbele ya maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3470638    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28